Chanzo cha picha, Kiambu county's Department of Health Services Hali ya huzuni ilitanda kijiji kimoja katika Bonde la Ufa nchini Kenya wiki iliyopita huku madaktari kadhaa wakijumuika na ...
Lakini katika usiku mrefu zaidi wa Assad, mshirika wake wa karibu amemwacha. Huenda huu ukawa mwaka mbaya zaidi kwa maslahi ya Iran tangu vita vyake vya umwagaji damu na Iraq katika miaka ya 1980.
Katika tukio la kwanza, Jeshi la mkoani Mara linamshikilia, Gesoreka Mabula (30), mkazi wa Kijiji cha Mesega, wilayani Serengeti, kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi kwa kumchinja kisa ugomvi wa ...
Mzozo wa Mashariki ya Kati ukizidi kupamba moto, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jioni hii kwa saa za New York, Marekani linatazamiwa kupiga kura ya kutaka kusitisha mapigano huko Gaza. Wanawake Siku ...
Alisema hali hiyo imebainika kutokana na utafiti walioufanya ambako walibaini wajomba kuwaingilia kwa nguvu kingono watoto wa dada zao, endapo wakibainika wanamaliza kimya kimya. Kwela alisema ...
Wakati huohuo ripoti zinasema kwamba jeshi la Urusi limemkamata raia mmoja wa Uingereza aliyekuwa vitani bega kwa bega akivisaidia vikosi vya Ukraine katika jimbo la Kursk lililonyakuliwa kwa muda ...
Ni habari njema kwa wengi, hususan wafanyabiashara na watumiaji wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi. Ni nafuu pia kwa Serikali kuhudumia madeni yake na kulipa watoa huduma ambao mikataba yao imefungwa ...
Morogoro. Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Teodora Mkunga (39), mkazi wa Lusange, Kata ya Mtombozi, Wilaya ya Morogoro, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake Simon Gervas (8) kwa kumkata sehemu ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果